TABIA NI JAMBO LA MOYO SI LA MAZINGIRA YA NJE… Mpendwa msomaji, leo ninapenda tuzame kidogo ndani ya fikra ya kimaadili kuangaza kwa dhati ili kuelewa kuwa ‘tabia ni jambo la moyo…
Read moreAuthor: wamisionari
KIJANA ALIPO SASA-TOLEO LA KUMI
KUJENGA TABIA NJEMA KWA KUTUMIA UTASHI
Kijana akishikilia maadili sawa sawa anakuwa na afya njema kimwili na kiroho, atakuwa mwenye dhamiri isiyo na madeni.Kijana ataishi maisha yenye maamuzi sahihi na kwa kweli hii ndiyo huitwa…
Read moreKIJANA ALIPO SASA-TOLEO LA TISA
MWANASANAA NI MLEZI WA VIJANA.
Kamusi ya Kiswahili Sanifu inatoa maana ya sanaa. Inasema hivi: sanaa ni ufundi wa kuwasilisha mawazo yaliyomo katika fikira za binadamu ili yadhihirishe sura mbalimbali kama vile kwa maandishi, michoro,…
Read moreWajibu Wa Walezi Kwa Vijana-Toleo La Nane
WAZAZI NA WALEZI
Kijana anahitaji kupata taarifa muhimu za kimalezi lakini ijulikane kuwa malezi anayoyapata kutoka kwa wazazi na walezi ni tofauti na yale anayopata kutoka kwa makundi yake…
Read moreKIJANA ALIPO SASA-TOLEO LA SABA
WAJIBU WA WALEZI
Mnamo mwezi wa Agosti mwaka 2020 nikiwa na Padre Achilleus Ndege tukitokea Ifakara, tuliingia mji wa Iringa. Baada ya misa ya mazishi ya baba wa Padre Raymond…
Read moreAskofu Mkude Ang’atuka Jimbo la Morogoro
BABA Mtakatifu Francisko, ameridhia ombi lililowasilishwa kwake na Askofu wa Jimbo Katoliki la Morogoro nchini Tanzania, Telesphor Mkude la kung’atuka madarakani.
Papa Francisko ameridhia ombi hilo la Askofu Mkude, jana Jumatano…
Read moreKijana Alipo Sasa-Toleo La Sita
Teknolojia ya mawasiliano ilianza kubadillika haraka tangu karne ya 15 ilipogunduliwa mitambo ya kuchapa. Katika karne ya 19, redio iligunduliwa na baadaye televisheni na satellite katika miaka ya 1956. Mabadiliko…
Read moreAskofu Sangu Atuma Ujumbe Mzito wa Krismasi na Mwaka Mpya 2021
Desemba 25 kila mwaka, Wakristo kote duniani huungana katika kuadhimisha sikukuu ya Noeli kuzaliwa kwa mwokozi wao Yesu Kristo (Christmas), ambapo kuelekea siku hiyo, Askofu wa Jimbo Katoliki la Shinyanga, Liberatus Sangu…
Read moreJIKUBALI ‘’Ukijishusha thamani na ulimwengu utakushusha thamani”. na Ophra Winney
‘’Ukijishusha thamani na ulimwengu utakushusha thamani”.
– Ophra Winney
Kujikubali ulivyo ni kujiponya. Bila wewe mwenyewe kujikubali, hakuna atayekukubali ama kukubali unachokifanya. Mwenyezi Mungu anakupenda sana. Alikuumba kwa sura…
Read moreKijana Alipo Sasa-Toleo La Tano
Kitabia, hakuna jambo linalokinai kiasi cha kuamua kuliacha bila kuwa na jambo jingine ambalo linachukua nafasi ya lile lililoachwa. Kwa lugha nyingine, bandika bandua ndiyo mtindo wa kila siku kitabia….
Read more