DON'T MISS
MASOMO YA MISA, MACHI 9, 2020 JUMATATU, JUMA LA 2 LA...
MASOMO YA MISA, MACHI 9, 2020
JUMATATU, JUMA LA 2 LA KWARESIMA
SOMO 1
Dan. 9:4-10
Ee Bwana, Mungu mkuu, mwenye kutisha, ashikaye maagano na rehema kwao wampendao,...
Askofu Eusebius Nzigiwa Ateuliwa Kuwa Askofu Wa Jimbo La Mpanda
Papa Francisco, leo Mei 13, 2020 amemteua Askofu Msaidizi wa Jimbo kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Eusebius Alfred Nzigilwa, kuwa akofu mpya wa...
Lifestyle
Food
Papa Francis amewasili Sudan Kusini kwa ziara yake ya kwanza nchini...
Papa Francis amewasili nchini Sudan Kusini kwa ziara yake ya kwanza katika nchi changa sana duniani akikungana na mkuu wa Kanisa la England na...
LATEST ARTICLES
Jimbo kuu la Songea Lafanya Jubilei ya miaka 125 ya Uinjilisti
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Oktoba 01, 2023 amewasili katika Parokia ya Peramiho, jimbo kuu la Songea ambapo atashiriki katika Jubilei ya miaka 125...
Vatcan: Makardinali wapya 21 wasimikwa wakiwemo 3 kutoka Afrika
Viongozi wa Kikatoliki cheo cha Makardinali 21 wamesimikwa na Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis.
Makardinali wapya hao wamesimikwa rasmi katika mkutano wa kawaida...
Papa Francis asisitiza kwamba serikali za Ulaya lazima zifanye zaidi kuwahudumia...
Akifunga mkutano wa maaskofu na vijana kutoka eneo kuzunguka bahari ya Mediterania katika mji wa bandari wa Ufaransa wa Marseille, aliongeza kuwa uhamiaji ni...
Papa Francis awataka Wakatoliki China kuwa wakristo wema
Francis alitoa maoni hayo ambayo hayakuwa yameandikwa katika hotuba yake mwishoni mwa Misa katika mji mkuu wa Mongolia, akiwaita maaskofu wakuu wa zamani na...
Papa Francis aelezea kusikitishwa na idadi kubwa ya wahamiaji wanaofia kwenye...
Mkuu wa kanisa katoliki Papa Francis amesema Jumapili kwamba idadi ya wahamiaji wanaofia kwenye bahari ya Mediterranean ni ”jeraha la wazi”, kwa ubinadamu baada...
Papa Francis akutana na waathirika wa unyanyasaji wa kingono katika mkutano...
Papa Francis Jumatano alisema kanisa katoliki linahitaji “kujitakasa kwa unyenyekevu na kwa muda mrefu” ili kukabiliana na “kilio cha uchungu” cha waathirika wa unyanyasaji...
Papa asema ahofia matukio ya moto nchini Ugiriki
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis leo ameeleza wasiwasi juu ya matukio ya moto inayoikumba Ugiriki na mataifa mengine duniani.
Kiongozi huyo wa Kanisa...
Papa Francis arejelea majukumu yake baada ya kufanyiwa upasuaji
Siku mbili baada ya kuondoka hospitalini, kiongozi mkuu wa kanisa Katoliki, Papa Francis alianza tena desturi yake adhimu ya Jumapili, ya kusalimia umma katika...
Papa Francis, 86, kufanyiwa upasuaji wa tumbo
Papa Francis atafanyiwa upasuaji wa tumbo lake Jumatano alasiri katika hospitali ya Gemelli ya Roma.
Anatarajiwa kukaa hospitalini kwa "siku kadhaa" ili kupata nafuu kutokana...
Zelensky yuko Roma kukutana na Papa Francis
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky yuko Roma ambapo anakutana na viongozi wa kisiasa na amekutana na Papa Francis.
"Ziara muhimu kwa ushindi unaokaribia wa Ukraine!"...