Tuesday, September 26, 2023
[rit_icon_box icon_fontawesome=”fa fa-paper-plane-o” title=”Historia Yetu” description=”Kundi la Wamisionari Wakatoliki Mtandaoni lilianzishwa mwaka 2010 wakati huo likiitwa Vijana Wakatoliki Tanzania, baada ya viongozi wa Vijana wa Parokia ya Familia Takatifu Njiro Jimbo kuu la Arusha kupata wazo la kuunganisha vijana wote Wakatoliki wa Tanzania kupitia Mtandao wa Facebook.” link=”#” text_link=”” style=”boxed” layout=”vertical”]
[vc_btn title=”Soma Zaidi” style=”outline-custom” outline_custom_color=”#666666″ outline_custom_hover_background=”#666666″ outline_custom_hover_text=”#ffffff” align=”center” link=”url:https%3A%2F%2Fwamisionariwakatoliki.or.tz%2Fabout-us%2F|title:Historia%20Yetu||”]
[rit_icon_box icon_fontawesome=”fa fa-heart” title=”Jinsi ya Kujiunga Nasi” description=”Kijana yeyote Mkatoliki anapokelewa kujiunga na kundi. Awe na utambulisho wa ushiriki wake katika shughuli za kanisa, kwa maana ya Jumuiya, Parokia na Jimbo analosali na kutoa/kupata huduma, Awe tayari kukubali kujifunza na kufundisha wengine…” link=”#” text_link=”” style=”boxed” layout=”vertical”]
[vc_btn title=”Soma Zaidi” style=”outline-custom” outline_custom_color=”#666666″ outline_custom_hover_background=”#666666″ outline_custom_hover_text=”#ffffff” align=”center” link=”url:%2Fabout-us|||”]
[rit_icon_box icon_fontawesome=”fa fa-cubes” title=”Matendo ya Huruma” description=”Tumejiwekea utaratibu wa kufanya matendo ya huruma mara mbili kila mwaka; wakati wa Pasaka na wakati wa Noeli. Tunafanya matendo ya huruma kwa Vijana kote Tanzania kutoa michango yao ambayo inakusanywa kupitia mitandao ya simu na kisha kununua mahitaji husika. Toka tumeanza utaratibu huu…” link=”#” text_link=”” style=”boxed” layout=”vertical”]
[vc_btn title=”Soma Zaidi” style=”outline-custom” outline_custom_color=”#666666″ outline_custom_hover_background=”#666666″ outline_custom_hover_text=”#ffffff” align=”center” link=”url:https%3A%2F%2Fwamisionariwakatoliki.or.tz%2F2019%2F09%2F01%2Fkamati-ya-kuratibu-matendo-ya-huruma%2F|title:Kamati%20ya%20Kuratibu%20Matendo%20ya%20Huruma||”]

Msingi Yanayofanywa Ndani ya Kundi

 

Kundi limekuwa msaada mkubwa kwa vijana wanaohitaji kuelimishwa

juu ya jambo lolote ama changamoto yoyote kwenye imani Katoliki. Mashemasi

na Mapadre walioko kwenye kundi wamekuwa msaada mkubwa kwa kujibu

maswali mengi kwa ufasaha.

Bonyeza Hapa Kujiunga

[vc_custom_heading text=”Tunachokifanya” font_container=”tag:h2|text_align:center”]

Kundi la Vijana Wakatoliki Tanzania lilianzishwa mwaka 2010baada ya viongozi wa Vijana wa Parokia ya Familia Takatifu  Njiro Jimbo kuu la Arusha kupata  wazo  la kuunganisha vijana wote Wakatoliki wa Tanzania kupitia Mtandao wa Facebook.

soma zaidi

[recent_posts enable_carousel=”1″ cat=”news” number=”6″ limit=”14″ view_more=”yes” show_date=”yes” show_icon_thumb=”” title=”Habari Mpya”]