RAIS John Magufuli na mkewe, Janeth Magufuli, leo Februari 26, 2020, wameshiriki Misa ya Jumatano ya Majivu iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oyster Bay jijini Dar es Salaam.


RAIS John Magufuli na mkewe, Janeth Magufuli, leo Februari 26, 2020, wameshiriki Misa ya Jumatano ya Majivu iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oyster Bay jijini Dar es Salaam.