Kama tulivyokubaliana kwenye kikao cha tarehe 07/12/2019 kilichofanyika Same kuwa mwaka huu tutafanya Annivesary yetu ya miaka 10.

Kamati kuu pamoja na Halmashauri kuu ya Wamisionari Wakatoliki Mtandaoni imeunda kamati ya watu 35 ambao wataratibu tukio hili kubwa.Tukio hili litafanyikia Jimbo kuu la Dodoma, Novemba 2020. Kamati hii ya maandalizi watapewa hadidu za rejea na kamati kuu kwa lengo la kufanikisha sherehe hii

 

Yafuatayo Majina Ya Walioteuliwa kuunda Kamati.

*1.Majegero Selecius – Arusha…Mwenyekiti*

2.Hellen Chituruko – Dodoma

3.Filbert Bagenda – Dodoma

4.P. Asia mdemu – Dodoma

5.Albert Byelengo – Morogoro

*6.Catheline Lacha – DSM…Mweka hazina*

7.Brighton Balozi – DSM

8.Juliun Mosha – DSM

9. Method Pesha – Shinyanga

10.Estarsia Mlawa – Moshi

11.William Bhoke – Bunda

12.Jacob Mhagama – DSM

13.Jane Mwenda -DSM

14.Josephine Kajembe DSM

*15.Jostine Nyangala – Iringa……Katibu*

16.Pauline Raphael – Mbeya

17.Angel Asenga – Mwanza

18.Salvina Kyaduma – Tanga

19.Stephania Luyenga – Shinyang

20.Josephine – Shinyanga

21.Anitha Mwoleka – Shinyanga

22.James Wumbura- Arusha

23.Alfred Lupogo – Ifakara

24.Veritus Nderumaki – Shinyanga

25.Renatus Madili – Arusha

26. *Fr Pascal Mwadende- Mbeya*

27. *Fr Prosper Kessy – DSM*

28. *Fr Rogasian Msafiri – DSM*

29 Godfrey Asenga – Same

30.Lazaro Arangare – Arusha.

31. *Fr Muhindi – Dodoma*

32.Jane Rwekyuba – DSM

33. Nelson Mandela – Arusha

34.Crytus Kabete – Shinyanga

35.Festo Hiza DSM

Tunawatakia kila la kheri kamati kufanikisha tukio hili kubwa:pray:?:pray:?
Kwa tukio hili natangaza rasmi sasa kamati ya maandalizi ya Annivesary imezinduliwa.