Historia Yetu
Kundi la Wamisionari Wakatoliki Mtandaoni lilianzishwa mwaka 2010 wakati huo likiitwa Vijana Wakatoliki Tanzania, baada ya viongozi wa Vijana wa Parokia ya Familia Takatifu Njiro Jimbo kuu la Arusha kupata wazo la kuunganisha vijana wote Wakatoliki wa Tanzania kupitia Mtandao wa Facebook.
Jinsi ya Kujiunga Nasi
Kijana yeyote Mkatoliki anapokelewa kujiunga na kundi. Awe na utambulisho wa ushiriki wake katika shughuli za kanisa, kwa maana ya Jumuiya, Parokia na Jimbo analosali na kutoa/kupata huduma, Awe tayari kukubali kujifunza na kufundisha wengine...
Matendo ya Huruma
Tumejiwekea utaratibu wa kufanya matendo ya huruma mara mbili kila mwaka; wakati wa Pasaka na wakati wa Noeli. Tunafanya matendo ya huruma kwa Vijana kote Tanzania kutoa michango yao ambayo inakusanywa kupitia mitandao ya simu na kisha kununua mahitaji husika. Toka tumeanza utaratibu huu...
Habari Mpya
Wajibu Wa Walezi Kwa Vijana-Toleo La Nane
WAZAZI NA WALEZI
Kijana anahitaji kupata taarifa muhimu…
KIJANA ALIPO SASA-TOLEO LA SABA
WAJIBU WA WALEZI
Mnamo mwezi wa Agosti mwaka 2020 nikiwa…
Askofu Mkude Ang’atuka Jimbo la Morogoro
BABA Mtakatifu Francisko, ameridhia ombi lililowasilishwa kwake na Askofu wa Jimbo…
Kijana Alipo Sasa-Toleo La Sita
Teknolojia ya mawasiliano ilianza kubadillika haraka tangu karne ya…
Askofu Sangu Atuma Ujumbe Mzito wa Krismasi na Mwaka Mpya 2021
Desemba 25 kila mwaka, Wakristo kote duniani huungana katika kuadhimisha sikukuu…
JIKUBALI ‘’Ukijishusha thamani na ulimwengu utakushusha thamani”. na Ophra Winney
‘’Ukijishusha thamani na ulimwengu utakushusha thamani”.
– Ophra Winney
<span...